NEWS

SPORTS

ENTERTAINMENT

VIDEOS

/ / Nick Cannon aingia kwenye mahusiano na ex wa Usher, Chilli

Rapper Nick Cannon anadaiwa kuingia kwenye mahusiano na aliyekuwa mpenzi wa Usher,  Rozonda Thomas maarufu kama Chilli.
Nick
Hivi karibuni Nick Cannon ameonekana maeneo ya New York akiwa na muimbaji huyo huku wakionekana ni kama watu wenye mahusiano ya kimapenzi.
Mtu wa karibu wa wawili hao amesema, “Nick and Chilli [have] been hanging out on the low. [They’ve] been friends for some time and just recently this summer they have been hanging out romantically.”
Rozanda aliwahi kuwa kwenye uhusiano maarufu na  Usher Raymond uliodumu kwa miaka miwili.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About B45

Asante kwa kutembelea BENSON 45,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA BENSON45.BLOGSPOT.COM.

No comments :

Leave a Reply