NEWS

SPORTS

ENTERTAINMENT

VIDEOS

/ / Unlabelled / DIAMOND NA WEMA NDANI YA MAPENZI MOTO MOTO

Baada ya mengi kuongelewa kuhusu nguli wa muziki wa kizazi kipya Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platnumz au kama anavyojiita Chibu Dangote na yule malkia wa filamu Bongo Wema Sepetu a.k.a Madame.
Sasa wameamua kudhihirisha ni kiasi gani wanapendana,hii ni baada yao wao wote wawili kupost picha kwenye mtandao wa instagram inayowaonyesha wakiwa kwenye dimbwi la mahaba na mapenzi motomoto.
Picha hizo zilizokuwa na ujumbe ambao hutolewa kwa wanaopendana zimewafanya watu watoe comment zao na moja ya comment niliyo kutana nayo ni hii ``Daaah guwd couple ever mahaba niue,mahaba ninyonge kabisa``
Diamond na Wema kwenye pozi
Hii ndo picha aliyo post diamond kwenye ukurasa wake wa instagram.
         Alianza Diamond kwa picha yake hiyo na maneno ya kudhihirisha ni kiasi gani anampenda mpenzi wake huyo.
Hii ni picha aliyo post Wema
         Baada ya muda Madame nae akajibu kwa kupost picha yake na maneno matamu,na kuwaacha watu wakicomment,wengi wao wakionyesha kufurahia kwa kuwa pamoja kwa watu hawa.
Mahusiano ya Diamond na Wema yamekuwa yakitengeneza vichwa vya habari kutokana na kila matukio kila kukicha,mashabiki wao wamewashauri watulie pamoja ili wajenge familia.


«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About B45

Asante kwa kutembelea BENSON 45,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA BENSON45.BLOGSPOT.COM.

No comments :

Leave a Reply