NEWS

SPORTS

ENTERTAINMENT

VIDEOS

/ / Dj Khaled: Ilimchukua mwaka mzima, kutafuta nyumba New York ili kupata verse ya Jay Z

Jay Z si rapper unayeweza kumpata kirahisi tu ndio maana ilimchukua Dj Khaled mwaka mzima pamoja na kutafuta nyumba ya kuishi New York, Marekani ili kuipata verse yake.
13551756_1696266437292524_133795301_n
Khaled anaishi Miami lakini ilimlazimu kuhamia NY kwaajili hiyo. Hivi karibuni amemshirikisha Hov kwenye wimbo wake I Got The Keys.
“It took me years to get Jay Z to do a record for me,” amesema kwenye interview na Music Choice. “I basically got a condo in NYC for a whole year to stay close by him and let him know how hungry I was for that verse. So I went in studio every day. He was recording his album and I appreciate him letting me be around and capture that greatness, but at and at the same time I was hustling too, you know what I am saying. I wanna get that verse in.”
“It was a year process that I had to go back and forth to Miami to NY and I had condo in NY and so I stayed in NY so I had to let him know I’m not going nowhere,” Khaled explains. “Basically, we made history. I am never stopping.”

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About B45

Asante kwa kutembelea BENSON 45,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA BENSON45.BLOGSPOT.COM.

No comments :

Leave a Reply