NEWS

SPORTS

ENTERTAINMENT

VIDEOS

/ / Prezzo amponda Jaguar

Rapa kutoka nchini Uganda Prezzo amesema hana haja na kolabo za wasanii wakubwa wa Afrika kwani yeye ameshapewa baraka baada ya kukutana na Rapa Jay Z.

Akizungumza na Enewz Prezo alisema kuwa yeye anajiamini hata alivyokutana na Jay Z rapa huyo alionekana kufurahia uwepo wake hivyo hana haja sana na kolabo za wasanii wa Afrika ili kutoka kimuziki.

Pia Prezzo alimpongeza msanii Jaguar kutoka nchini Kenya kwa kolabo yake na Mafikizolo huku akimpa pole kwa kutojua kudab katika nyimbo hiyo kiasi cha kukosea kufanya hivyo katika video yake.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About B45

Asante kwa kutembelea BENSON 45,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA BENSON45.BLOGSPOT.COM.

No comments :

Leave a Reply