NEWS

SPORTS

ENTERTAINMENT

VIDEOS

/ / Meneja Wa Wema Martin Kadinda Aweka Wazi Hiki Chanzo Cha Ugomvi Wa Mirror Na Petit Man

Mwanamitindo na Meneja wa Wema Sepetu, Martin Kadinda amefunguka juu ya ugomvi wa Mirror na Petiti Man. 
Akizungumza na Enewz Kadinda alisema kuwa ugomvi wa Mirror na Meneja wake anayesimamia kazi zake za muziki yaani Petit man ni utoto tu unawasumbua.
“Petiti bado yupo Endles Fame kwakuwa bado hajaiandikia barua kampuni kuwa anatoka na yote yaliyotokea kati ya petit na Mirror ama Wema ni tofauti zao tu kawaida ambazo si mara ya kwanza kutokea”,alisema Kadinda.

Hapo awali Mirror aliiambia Enewz kua hasimamiwi tena na Petit katika kazi zake huku Petit akitaka tumuulize Meneja wa kampuni ambaye ni Kadinda juu ya swala hilo kwakuwa yeye ndo msemaji wa kampuni hiyo.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About B45

Asante kwa kutembelea BENSON 45,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA BENSON45.BLOGSPOT.COM.

No comments :

Leave a Reply