
Moja ya
stori kubwa zilizokamata kwenye mitandao ya kijamii Feb 17 2016 ilikuwa
ni post ya mrembo wa bongo Wema Sepetu ambaye aliandika maelezo kuhusu
kuharibika kwa ujauzito wake, Full stori nimekuwekea pia kwenye hii
sauti hapa chini ikiwa ni kipisi cha interview niliyowahi kufanya na
Idris Sultan kuhusu Ujauzito wa Wema.
No comments :