NEWS

SPORTS

ENTERTAINMENT

VIDEOS

/ / on air with millardayo Interview na Akothee, Mkenya mwingine aliyefanya kolabo na Diamond Platnumz

Akothee amekua msanii wa kwanza Kenya kufanya kolabo na mwimbaji Mtanzania Diamond Platnumz, ni Mwanamke mwenye historia ndefu ya maisha ya kuanzia kuwa Dereva Taxi Mombasa Kenya kabla hajaolewa na Mzungu na kwenda Ulaya kisha baadae akarudi Kenya baada ya ndoa kuvunjika.
Anasema ‘Mimi huwa napenda raha sana, kuna wakati Diamond alikuja Mombasa mwaka 2013 ambapo nilikua miongoni mwa watu waliokwenda kuchukua watu wake Airport nikajiuliza kwanini siku moja nisifanye wimbo na huyu kijana wa bongo? kweli nimefanikiwa kurekodi naye hatimaye, siwezi kusema kama Diamond kanitoza pesa kurekodi naye ila ngoma imechukua gharama kubwa’
Tazama hii video hapa chini akijieleza zaidi kisha video ya wimbo wenyewe chini ya hii video.
Akothee amekua msanii wa kwanza Kenya kufanya kolabo na mwimbaji Mtanzania Diamond Platnumz, ni Mwanamke mwenye historia ndefu ya maisha ya kuanzia kuwa Dereva Taxi Mombasa Kenya kabla hajaolewa na Mzungu na kwenda Ulaya kisha baadae akarudi Kenya baada ya ndoa kuvunjika.
Anasema ‘Mimi huwa napenda raha sana, kuna wakati Diamond alikuja Mombasa mwaka 2013 ambapo nilikua miongoni mwa watu waliokwenda kuchukua watu wake Airport nikajiuliza kwanini siku moja nisifanye wimbo na huyu kijana wa bongo? kweli nimefanikiwa kurekodi naye hatimaye, siwezi kusema kama Diamond kanitoza pesa kurekodi naye ila ngoma imechukua gharama kubwa’
.





«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About B45

Asante kwa kutembelea BENSON 45,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA BENSON45.BLOGSPOT.COM.

No comments :

Leave a Reply