NEWS

SPORTS

ENTERTAINMENT

VIDEOS

/ / Unlabelled /

  • Kanye West na Jengo La Dola Million 11 Kwa maandalizi Ya Familia Mpya

Pichani Ni Rapper kanye West A.K.A Yeezy Akiwa na Mpenzi Wake Kim kardashan  Katika pozi
Pichani Ni Jumba Walilonunua Kanye na Kim kardashan Ambalo limewagharimu kiasi cha Dola Za kimarekani Million 11 , Jumba Hilo Lililopo katika eneo la gated Bel Air, California, Kwa hela za  Tanzania ni sawa na Shilingi za Kitanzania Billion 16 , Jumba Hilo Linakadiriwa kuwa na ukubwa wa Mita Za Mraba 10,000 pamoja na bwawa Kubwa La kuogelea, Sehemu Ya Kufanyia Mazoezi Yaani Gym , Kiwanja Kidogo cha Mpira wa kikapu na pia Bwawa la kuogelea la ndani ya Nyumba Maarufu kama Indoor Pool ,inasemekana jumba Hilo limedizainiwa kwa  muundo wa majumba za kiitaliano, Kwa Ajili Ya Familia Yao Wanayotarajia kuipata baada ya Miezi Tisa. Hawa ni baadhi ya Mastaa Wenzao ambao ni Majirani Wao wa Karibu  Jennifer Aniston na  Mcheza Kikapu Chris Paul.
Wapenzi Hawa Ambao Tangu Waingie kwenye Uhusiano wao wamekuwa wakiandikwa kwenye Vyombo Mbalimbali Vya Habari Kuhusiana na Mahusiano yao , ambao Bi Mdada kim Kardashan Alivunja Ndoa yake Na Mcheza kikapu Chris Humphreys Iliyodumu kwa muda wa siku 72 Na kuhamisha Makazi Kwa Rapper kanye West, Na hivi juzi juzi Vyombo Vya habari Vilimnukuu Kim K pamoja na kanye west kwamba Bi Mdada huyo tayari ameshika Ujauzito Na ivyo Wanajiandaa Kumpokea mtoto kama ilivyo kwa mastaa wengine kama jay z na beyonce.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About B45

Asante kwa kutembelea BENSON 45,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA BENSON45.BLOGSPOT.COM.

No comments :

Leave a Reply