

Katika awamu ya kwanza BET wamewataja pia wasanii kama Migos, Bruno Mars, Future, Trey Songz na Tamar Braxton ndio watakaoanza kupanda kwenye stage kutoa burudani katika usiku huo.
Tamasha hilo litakalo fanyika siku nne mfululizo litaoneshwa mubashara kuanzia saa mbili usiku.Msanii Beyonce na Bruno Mars ndio walio ongoza kutajwa katika vipengele tofauti, Huku Beyone akiwania vipengele saba, na Bruno Mars akiwania vipengele vitano.
Pia wasanii kama Solange, Chance the Rapper na Migos,wakiwa katika vipengele vinne vinne.
No comments :