NEWS

SPORTS

ENTERTAINMENT

VIDEOS

/ / Soulja Boy agoma kumpatia Mama yake Hela kisa jambo hili


Baada ya kuwa na majibizano na drama na Breezy ya hapa na pale kuhusu pambano lao, this time Soulja Boy ameamua kukata mkono wa mkwanja kwa Mama yake kutokana na Mama yake kuwa na matumizi ya madawa ya kulevya.
Kupitia kurasa yake ya Twitter, Soulja alifunguka mengi kuhusiana yeye na familia yake kwa kusema kwamba, Mama yake huwa anamkumbuka pindi anapokuwa na shida na hela na ndio chanzo ambacho kimemfanya kutompatia hela Mama yake

#SouljaBoy calls his mother a crackhead and says his brother is looking for a come up 👀 (view previous post) 



«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About B45

Asante kwa kutembelea BENSON 45,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA BENSON45.BLOGSPOT.COM.

No comments :

Leave a Reply