NEWS

SPORTS

ENTERTAINMENT

VIDEOS

/ / Picha,Macklemore yule rapa aliyeimba wimbo wa kutetea ushoga anapicha ya Justin Bieber akiwa mtupu kwenye studio yake.

Rapa Macklemore athibitisha kuwa na picha kubwa ya utupu ya Justin Bieber ndani ya studio yake.
Mwezi wa tatu mwaka huu palikuwa na stori kuwa kuna picha kubwa ya kuchorwa ya staa wa pop Justin Bieber akiwa mtupu imetoka na imenunuliwa.
Macklemore ametoa maelezo ya kwanini anamiliki picha hio na kusema>>Nimewekeza kwenye picha hio, inakuwa na thamani kubwa sana baadae, niliitafuta na kuinunua mtandaoni kwa dola 20 tu ila baadae itakuwa juu zaidi”.
Macklemore  ni yule rapa aliyeimba wimbo wa kutetea ushoga.
0602-justin-bieber-art-dan-lacey-etsy-4

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About B45

Asante kwa kutembelea BENSON 45,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA BENSON45.BLOGSPOT.COM.

No comments :

Leave a Reply