
Weezy F.Baby akiwa kwenye stage hivi karibuni alisema wazi “Before I go any further, I want y’all to know I got two new albums coming y’all way,Fuck the Birdman,Fuck Cash Money“.
Wayne anatajwa kuelekea kufilisika kutokana na maisha ya kistaa anayoishi boa kuwa na album wala mziki mpya mitaani kutokana na kubanwa na lebel yake. Kwa sasa Wayne anatoa mziki wake kupitia kampuni ya Jay Z ya TIDAL.
No comments :