• Msikilizaji mzuri wa muziki wa hiphop utakuwa na ufahamu kuhusu wimbo #STAN wa Eminem&nb...

  • Rich Homie Quan atahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kama atakutwa na hatia kwenye ...

  • BET wametoa orodha ya wasanii ambao watapanda katika steji ya utoaji tuzo usiku wa June 2...

  • Chance the Rapper’s impact on Chicago continues to shine. Following the hometown hero’s $...

NEWS

SPORTS

ENTERTAINMENT

VIDEOS

/ / UHAMISHO WA DE GEA WAKWAMA

Uhamisho wa Golikipa David De Gea kutoka Manchester United kwenda Real Madrid ya Hispania umekwama dakika za mwisho kwa sababu ya karatasi muhimu za uhamisho kuchelewa .
Madrid walikua tayari kutoa dau la pauni milioni 29 , kipa wao Keylor Navas kama sehemu ya dili la uhamisho huo.
Hakujakua na taarifa rasmi kutoa kwa vilabu hivi ni nini kimetokea juu ya uhamisho huo huku dirisha la usajili kwa nchi ya hispania likifugwa jana na kwa upande wa Uingereza litafungwa leo hii sasa sita usiku.
Kusalia kwa De Gea kunaifanya Man United kuwa na makipa wanne ambao ni Sergio Romero,Victor Valdezna kinda Sam Johnstone.

«
Next
YAMOTO BAND-CHEZA KWA MADOIDO[Official Video]
»
Previous
USAJILI ENGLAND WAGHARIMU FEDHA NYINGI

About B45

Asante kwa kutembelea BENSON 45,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA BENSON45.BLOGSPOT.COM.

No comments :

Leave a Reply