NEWS

SPORTS

ENTERTAINMENT

VIDEOS

Latest Post

Msikilizaji mzuri wa muziki wa hiphop utakuwa na ufahamu kuhusu wimbo #STAN wa Eminem kutoka kwenye album yake ya mwaka #2000 ya #Eminem.
Wimbo huu ulihusu kijana STAN aliyekuwa shabiki wa kupitiliza mpaka kumuuwa mpenzi wake aliyekuwa na ujauzito, na sasa kamusi ya lugha ya kingereza ya Oxford imesema neno STAN limethibitisha kuwekwa kwenye kamusi hii likiwa na maana ya ….STAN>>an overzealous or obsessive fan of a particular celebrity.” ikimaanisha Nishabiki aliyepilitiza kwa mapenzi na hisia kali kwa mtu maarufu” 


Rich Homie Quan atahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kama atakutwa na hatia kwenye kesi kubwa inayomkabili.
TMZ imeripoti kuwa rapa huyu kutoka Atlanta amekamatwa na dawa za kulevya wakiwa nampango wa kuziuza, amekamatwa akiwa na marafiki zake watano.
Quan na marafiki zake watano wamekamatwa na silaha za moto, bangi pamoja na dawa za kulevya, dhamana ya Quan ilikuwa milioni 44 za Tanzania.

BET wametoa orodha ya wasanii ambao watapanda katika steji ya utoaji tuzo usiku wa June 25 Jumapili mwaka 2017.

Image result for WIZKID
Tuzo hizo zinatarajiwa kufanyika katika jiji la (L.A)Los Angeles nchini Marekani katika ukumbi wa Microsoft Theater , Hata hivyo msanii tokea bara la Afrika Wizkid nae ametajwa katika watu watakao weza kushiriki kutoa burudani kwenye Tuzo hizo kubwa huku list hiyo ikiwa na wasanii nguli kama vile Snoop Dogg, Wiz Khalifa, Pusha T, Desiigner, Bryson Tiller, Rae Sremmurd, Jhené Aiko na New Edition.

Katika awamu ya kwanza BET wamewataja pia wasanii kama Migos, Bruno Mars, Future, Trey Songz na Tamar Braxton ndio watakaoanza kupanda kwenye stage kutoa burudani katika usiku huo.
Tamasha hilo litakalo fanyika siku nne mfululizo litaoneshwa mubashara kuanzia saa mbili usiku.Msanii Beyonce na Bruno Mars ndio walio ongoza kutajwa katika vipengele tofauti, Huku Beyone akiwania vipengele saba, na Bruno Mars akiwania vipengele vitano.
Pia wasanii kama Solange, Chance the Rapper na Migos,wakiwa katika vipengele vinne vinne.

Chance the Rapper’s impact on Chicago continues to shine. Following the hometown hero’s $1 million donation to the city’s public schools, three local students wrote an open letter to the Grammy-winning star.
The Lake View High School students, Alex Rojas, Alondra Cerros, and Annelisse Betancourt, published their letter through Billboard, thanking Chance for his philanthropic works.
“We as Chicago Public School students would like to thank you for the supportive donation to our schools,” they wrote. “As we all know, CPS has been struggling financially, and your donation has really given us a push to get to where we need to be and possibly motivate others to give back to the community as well. This is only one of the many things that you have done to improve our Chicago.”
With their letter, they also explained why Chance is much more than a rapper to them. “You’re more than just an artist to us, you are a way of life,” they wrote. “You make music that we can relate to on many levels, because you know what living in Chicago is like, and you want to make changes in the city. We may not be from the same side but we come from the same city. We just want to thank you for not forgetting where you came from and helping the city of Chicago in more ways than just being an inspirational rapper. You’re using your fame for good and not just to look good. You gave $1 million dollars of your personal money to Chicago schools and that’s something no one has done for us.”
In fact, they said Chance offered them “ease” during difficult times by promoting self-reliance. “We thank you for supporting Chicago’s minority youth when not many others have put time to think about the kids,” they added. “As minority students we feel ignored and as though we don’t have enough support from bigger influences like you. Being born and raised in Chicago is not easy at all. There are so many stereotypes and restrictions we have as teenagers due to the frequent violence and crimes. Your music puts some at ease because we know that someone cares and someone has experienced these daily struggles too. You and your music have taught us that you can be true to yourself and still be successful, still be self-made.”
Chance read the letter and responded with promises of more to come. “I appreciate you guys, and you’ll be happy to know the work has only just started,” he tweeted. “Huge things to come over the next 2weeks.”
Lil Chano donated $1 million to Chicago Public Schools earlier this month. He also promised to donate an additional $10,000 to specific public schools. This was celebrated by many, including former First Lady Michelle Obama.
“Thanks @chancetherapper for giving back to the Chicago community, which gave us so much,” she tweeted. “You are an example of the power of arts education.”

Chance the Rapper
The BET Experience is back with another star-studded lineup.
Now in its fifth year, the four-day event will be held at the Staples Center in downtown Los Angeles on June 22-25.
Kid Cudi, Snoop Dogg & Wiz Khalifa, Pusha T, Desiigner, and Playboi Carti are on the bill for opening day (June 22). Meanwhile, Bryson Tiller, Jhené Aiko, Keyshia Cole, Jidenna, Khalid, THEY., and H.E.R. will take the stage on Friday (June 23). Rounding things out on Saturday (June 24) will be A$AP Rocky, ScHoolboy Q, Gucci Mane, Rae Sremmurd, Migos, and Young Thug.
The annual BET Awards will cap things off on Sunday, June 25. Additional performers for the BET Experience will be announced in the coming weeks, according to Billboard.
As usual, an accompanying BET Fan Fest will be held at the Los Angeles Convention Center on June 24-25, featuring events like the celebrity basketball game.
Headliners for last year’s BET Experience included Lil Wayne, Usher, 2 Chainz, and Bryson Tiller.
VIP packages are available now. General tickets go on sale March 23.

JUST ANNOUNCED: Check out this year's @BETExperience line-up! Tickets on sale Thursday, March 23rd at 10am. 

Kid Cudi, Wiz Khalifa, Jhené Aiko, and Bryson Tiller
Meek Mill was charged with assault following an altercation at St. Louis International Airport on Wednesday (March 15).
According to TMZ, the incident occurred after an airport employee tried to get a photo with the Philly rapper. He reportedly “wasn’t having it” and a fight ensued.
Airport police were called and Meek was charged with misdemeanor assault, along with two other airport employees. Instead of being arrested, they were given a summons to appear in court.
The charge could create a problem for Meek, who is currently on probation for a weapons and drug conviction.
Meek, who is readying his next project DC4.5, has yet to comment.

Baada ya kuwa na majibizano na drama na Breezy ya hapa na pale kuhusu pambano lao, this time Soulja Boy ameamua kukata mkono wa mkwanja kwa Mama yake kutokana na Mama yake kuwa na matumizi ya madawa ya kulevya.
Kupitia kurasa yake ya Twitter, Soulja alifunguka mengi kuhusiana yeye na familia yake kwa kusema kwamba, Mama yake huwa anamkumbuka pindi anapokuwa na shida na hela na ndio chanzo ambacho kimemfanya kutompatia hela Mama yake

#SouljaBoy calls his mother a crackhead and says his brother is looking for a come up 👀 (view previous post) 



Mkongwe wa bongo fleva  kwenye mahadhi ya hip hop, Prof Jay wa Mitulinga jana amedropisha ngoma yake  mpya inayokwenda kwa jina la ‘Kibabe‘ ambao ni hiphop iliyozoeleka kutoka kwake  baada ya kukaa mda mrefu tangu atoe wimbo wenye mahadhi ya hip hop singeli ulioitwa ‘Kazi kazi’
Prof. Jay ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mikumi amesema nyimbo za kiharakati zilimpelekea kuwa Mbunge kabla ya kuingia Bungeni kwa kuwa kila wimbo ambao aliokuwa anaufanya ulikuwa unabeba shida za wananchi kiuhalisia na kuendelea kusema kuwa hawezi kubadilika.
Mbali na hilo Prof Jay amewataka wasanii wa singeli kukomaa katika muziki huo  ili waweze kuufikisha mbali na siyo kubweteka kusubiri watu wengine kuwanyanyua ili waonekane. Alidai  yeye hana mpango wa kuendelea kuimba muziki huo na kwamba alijitoa kufanya  wimbo mmoja ili kuonesha vipaji vilivyopo kwenye muziki huo ikiwa ni pamoja na  kuupa hadhi kwenye jamii.
“Mimi napenda kusapoti vipaji vilivyopo mitaani,  hata leo ukinipa jezi nicheze mpira ili kuhamasisha watu waupende mpira nitacheza lakini siyo sehemu yangu, kuhusu Singeli mimi siwezi tena kuimba nilivyoimba ule wimbo nilitaka kuonesha jamii kuwa kuna muziki huu pia upeni ushirikiano, sasa wasanii wenye wimbo huo ndiyo wenye jukumu la kuhakikisha unakua, Mwaka huu wameonekana kupooza wanatakiwa wapambane” Jay alisisitiza ndani ya Planet Bongo.

Takribani ni wiki sasa tangu kuwa na maneno kuhusu The Weeknd na Selena Gomez kuwa na mahusiano ya kimapenzi kwa kuonekana sehemu mbalimbali, Sasa uvumi huo umefikia katika hatua ya hadi kuvaliana nguo.
Kupitiaripoti ambayo imetolewa na mtandao wa Paper Mag umesema kwamba, Selena Gomez huwa anavaliana nguo na The Weeknd, ishu hiyo imekuja baada ya Selena Gomez kuonekana katika kurasa yake ya Instagram akiwa amevalia sweta jekundu ambayo inafanana na ile anavyovaa The Weeknd. wakati huohuo kulikuwa na comments ya The Weeknd ikiwa imeandika ‘Simple’ alafu na emoji.

Mara baada ya Remy Ma kuachia ngoma ya “Shether” ambayo ni disstrack kwa Nicki Minaj, unaambiwa mnyamwezi Nas amemaindi kinyama kitendo cha Remy Ma kutumia mdundo wake wa “Either” lakini ukiacha yote hayo Nas na Nicki Minaj wapo ndani ya mahusiano ya chini kwa chini.
Sasa Good Newz ni kwamba kupitia mtandao wa  MediaTakeOut , umefunguka kwa kusema kwamba Nas na Nicki Minaj wapo kwenye mahusiano, na info zinasema kwamba Nas ameanza kumdate Nicki muda mchache tu baada ya Meek Mill kuachia ngazi.
Nicki Minaj and Meek Mill attend the 2016 MTV Video Music Awards at Madison Square Garden on August 28, 2016 in New York City.
“They’re still early in their relationship, and Nas is still courting her. But Nicki’s already got feelings for him,” walifunguka watu wakaribu wa Nicki Minaj.
Bado huu unatajwa kama ni uvumi kwasababu hakuna kiashirio chochote cha kuonyesha kama wawili hao wapo kwenye mahusiano, ila baadhi ya mashabiki wamefunguka kwa kusema kwamba Nicki Minaj anatumia kitega uchumi chake kwa malegend hao ili kuandikiwa mistari.
Baada ya mwanasheria wa Trump, Michael Cohen kufunguka kuhusu video ya Snoop Dogg kumlenga vibaya Donald Trump Huku akimtaka kwamba aombe msamaha kwa Trump, Haya sasa Donald Trump ameamua kujibu mashambulizi.
Cover
Hakuna asiyejua kwamba ukija katika upande wa kurasa ya Twitter, Trump ndio mahala pake ambapo hujiachiaga, Ila this ameamua kufunguka juu ya video ya Snoop Dogg kwa kitendo alichokifanya cha kuonyesha pisto usoni mwa mfano wa Donald Trump.

Donald J. Trump @realDonaldTrump
Can you imagine what the outcry would be if @SnoopDogg, failing career and all, had aimed and fired the gun at President Obama? Jail time!
iLoveMakonnen, msanii wa zamani wa label ya Drake, OVO na aliyewahi kuhit na wimbo, Tuesday, amejitangaza kuwa ni shoga.

Makonnen alitumia Twitter kuelezea ukweli huo, Ijumaa hii:

Rapper huyo alisceenshot tweets hizo na kuweka post Instagram akiandika: Thank you for letting me be myself.”


Barack Obama ameshamwachia majukumu Donald Trump kuiongoza Marekani, licha ya kupewa majukumu hayo bado hali sio nzuri kwa baadhi ya wananchi na wasanii wa taifa hilo.
Rapper Kendrick Lamar anaungana na wasanii kama Jeezy, T.I na Rihanna kutoa maneno yao ya mwisho juu ya Barack Obama ambaye alifanikiwa kuwaunganisha wamarekani pamoja kila kona ya dunia.

Kendrick Lamar @kendricklamar
@potus We really gonna miss you champ. The good you've done & opportunity's you've given. Truly never know what we got til its gone. Thank u
Msanii wa muziki wa hip hop, Fareed Kubanda aka Fid Q amedai yupo tayari kufanya kolabo na rapper Nay wa Mitego kwa kuwa ni mmoja kati ya wasanii wa hip hip ambao wanafanya vizuri.

Alisema hayo baada ya hivi karibuni kupitia kipindi cha Planet Bongo ya EA Radio, Nay wa Mitego amemtaja Fid Q kuwa miongoni mwa rappers anaowakubali zaidi Bongo na kusema kuwa hastahili kufananishwa naye sababu yeye ni rapper mwepesi.
Ijumaa hii akiwa katika kipindi cha Enewz cha EATV, Fid Q amedai yeye anaufuatilia muziki wa Nay wa Mitego huku akidai yupo tayari kufanya naye kolabo.
“Nimeipenda sana ngoma ya Nay wa Mitego ‘Sijiwezi’ hasa ile chorus, na niko tayari kufanya naye kolabo,” alisema rapper huyo.
Rapper huyo ambaye ameachia wimbo ‘Kemosabe’ hivi karibuni, amedai Nay wa Mitego siyo rapper mwepesi kama anavyojiona kwani ni mmoja kati ya marappers wenye uwezo mkubwa.
Miss Tanzania, Diana Edwards recently came back with all smiles after the Miss World competitions. On a follow up, we all knew she was very social and jovial with all beauty pageants. However she was quite disappointed to find out that Miss Kenya, who she thought was a close friend, stabbed her on the back.
Image result for diana edward miss tanzania
Her documentary, ‘Maasai Dondosha Wembe’ took the position at top twenty four and she was to hold position one for Beauty With Purpose competition, but apparently Miss Kenya complained she did the same project.
“I am not happy with what she did, I asked her if she knew some Kenyan designer she denied yet she has ever been designed by him. So I wore his design not knowing she has ever worn it and did a photo-shoot with it. All along she was a fake, going behind my back, saying as Africans we have to support each other yet she knew exactly what she was up-to,” said Diana.


Darassa ni hadithi ya mafanikio ambayo kila mdau wa muziki ataikumbuka kwa mwaka 2016. Na hadithi yake ina funzo kubwa katika namna ambayo hit song hupatikana. Pengine nilichojifunza zaidi ni kuwa hakuna formula ya jinsi ya kupata hit.

Kwamba ‘don’t bother, just hit the studio do what you love’ mengine yatajulikana mbele ya safari, right? Kwasababu wakati mwingine ule wimbo ambao msanii aliurekodi kwa kujiachia tu studio kuwapa mashabiki wake zawadi, hugeuka kuwa mkubwa hadi humshangaza yeye mwenyewe. Na wakati mwingine, wimbo ambao msanii huuwekea mikakati mikubwa, kufanya uwezekaji wa kufa mtu na promo nzito, hugeuka kuwa ‘flop’ na ‘disappointment’ kubwa.
Kilichotokea mwaka huu kwa Darassa ni mawimbi ambayo kila kona imeyahisi. Muziki umegeuka kuwa wimbo wa hadhi ya ‘national anthem’ kwa muda mfupi. Ndio wimbo wenye rotation kubwa zaidi nchini kwa sasa. Huwezi kuukwepa. Usipousikiliza kwenye redio, utaona video yake kwenye TV. Usipousikia kwenye baa ya jirani, utausikia kwenye bajaj au bodaboda inayokatiza wakati ukitembea barabarani. Kwa ufupi katika mzunguko wako saa 12 za siku, uhakika wa sikio lako kuguswa na mawimbi ya mdundo wake ni mkubwa, utake ustake au labda uweke pamba sikioni.
Na kwa muda mfupi, Darassa amegeuka kuwa msanii wa rap mwenye show nyingi. Darassa amegeuka ‘hot cake.’ Hivyo inamlazimu kusafiri muda mwingi kwaajili ya kutumbuiza. Mfano siku kadhaa zilizopita alikuwa na show tatu katika mikoa miwili tofauti, Iringa na Shinyanga. Ni katika safari yake ya kutoka Kahama kwenda Kakola mkoani Shinyanga ndipo yeye na timu yake walipopata ajali ambayo kama si rehema za Mungu, angegeuka kuwa #hashtag.
Katika wakati huu ambao Darassa anafanya vizuri, amekuwa akipata ushauri mwingi kutoka kwa watu wanaotaka afike mbalimbali zaidi na kwamba asije siku moja akapotea tena baada ya kufika kwenye kilele cha mafanikio kimuziki. Hofu hiyo haikwepeki sababu kuna mifano mingi ya watu waliowahi kutoa nyimbo za ukubwa huo lakini leo hii wanapumulia mashine.
Miongoni mwa ushauri anaoupata ni kuwa apunguze show anazofanya kwa kuweka dau kubwa zaidi ili kuzichuja. Moja ya waliompa ushauri wa aina hiyo ni Sebastian Ndege, ambaye katika sehemu ya alichomshauri anasema, “Usichukue show za mapromoter uchwara waka dissapoint mashabiki wako kuwatia hasira na kukushusha hadhi. Bora ufanye shows chache lakini za ukweli, with detailed showcase.”
Mwingine ni Le Mutuz ambaye anamshauri kuwa ni muda wa yeye kuanza kuchukua malipo ya shilingi milioni 15 hadi 20. Na pia kuwapa masharti mapromota wa maeneo ya mbali kumtafutia usafiri wa ndege. Kwa upendo, wote, wametoa ushauri unaoweza kumjenga japo mwingine unakuwa ni nje ya uhalisia.
Nakubali kuwa kutokana na alipofika, Darassa hapaswi kulipwa kiasi kile kile kama ambacho alikuwa anatoza miaka miwili iliyopita, lakini hilo linapaswa kwenda kwa process. Ni haraka mno kutoka kulipwa mfano milioni 4 kwa show hadi kuwa milioni 20. Inahitaji justification zaidi ya kuwa na hits mbili kuweza kulipwa kwa ukubwa huo.
Watu wasimjaze maneno Darassa na kuanza ajisikie kuwa anapaswa kuanza kuchukua kiasi kile kile ambacho wasanii kama Diamond au Alikiba wanachukua – kumbuka safari ya wawili hawa na nguvu waliyojikusanyia hadi sasa. Hapo alipofika Darassa, kuna rappers kibao nyuma waliwahi kufika, lakini hawakulazimisha kupaa juu ghafla na kutaka walipwe mamilioni ya shilingi ambayo hayaendani na uhalisia.
Huu ndio muda ambao Darassa anaendelea kujijenga kujitengenezea ukubwa huo wa kutoza fedha nyingi au kuzikataa zile zinazoitwa ‘show za vichochoroni.’ Kumbuka kabla ya kuachia Muziki, hakuwa na ‘demand’ hiyo ya hata kuitwa kwenye utitiri wa show hizo. Show za milioni 3, 4 ndizo zinaweza kumjengea na kumtengenezea mazingira ya kudai shilingi milioni 15 au 20 kwa show moja baadaye. Hizi ni show zinazompa mtaji wa kujitengenezea himaya yenye nguvu itakayompa kiburi ya kukataa milioni 5 ili alipwe milioni 15.
Kuna wasanii wanaofanya vizuri ambao kupata show ya milioni 2 au 3 ni ngekewa, haiwezakani Darassa kuzikataa kisa ametoa hit ndani ya mwezi mmoja. Isitoshe, show za vichochoroni ndizo zinaonesha ukubwa wa msanii na dalili kuwa muziki wake umefika mbali. Ehh, ndiyo, haiwezekani kujiita msanii mkubwa wakati unajulikana mjini tu.
Ushauri wangu kwa Darassa ni kwamba aendelee kuwa mnyenyekevu hivyo hivyo kama alivyo sasa bila kuanza kuweka attitude kuwa hataki kwenda baadhi ya sehemu ambazo hazifikiki kwa ndege. Wanasema Roma haikujengwa kwa siku moja, ama hata mbuyu ulianza kama mchicha.. Ni process, inahitaji muda kutengeneza ukubwa, hauji ndani ya siku moja.
Na B Forty Five
Nidhamu ni kitu kikubw sana kwenye kila sekta duniani kote.
Cha kujiuliza ni Je Unaitambua thamani ya nidhamu katika kipaji chako ulicho nacho?
Vijana wengi wenye vipaji hasa chipukizi wamekuwa wakifeli kufikia malengo yao kwasababu tu ya kukosa nidhamu,Nidhamu haina mkubwa wala mdogo bali nidhamu ni moja ya njia yako ya kukupeleka katika mafanikio.
Nakumbuka siku moja nilikutana na kijana mmoja mwenye kipaji cha kuimba,akaniambia kuwa amekuwa akikosa nafasi za kuonyesha kipaji chake kila anapoenda,Kabla ya kumjibu chochote nilijiuliza hivi nini inaweza kuwa sababu ya kijana huyu kukosa nafasi?
Nilichomjibu nilimuuliza ni jitihada gani umefanya ili kupata nafasi ya kuonyesha kipaji chako?Akanijibu nimerekodi kwenye studio nzuri na nimefanya kazi na prodyuza mkubwa ambaye nimemlipa hela kubwa sana.
Swali lingine nikalipata kichwani kwani kufanya kazi na studio kubwa na prodyuza mwenye jina kubwa vinatosha kukufanya kuwa msanii mkubwa?
Mwisho nikatambua kuwa labda hawa wasanii wetu bado hawajajua vingi kuhusu thamani na kuthamini.
Mtangazaji wa Metro Fm Mwanza,B forty five.










Alivyoondoka yule kijana,kuna rafiki mmoja alikuwa pembeni akaniambia huyo dogo anadharau na hana nidhamu kila anapoenda,kuanzia katika vyombo vya habari mpaka kwenye maisha ya kawaida.
Hapo sasa ndo nilipogundua kuwa nidhamu inaweza kukufanya uthaminike au usithaminike kwa maana hiyo kama yule kijana angekuwa na nidhamu basi angepata nafasi ya kipaji chake kuonekana na hata wanaomzunguka wangemthamini sana tu.
Nimtolee mfano mtu kama Diamond Platnumz ni msanii mkubwa sana Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania,Lakini unapokutana nae unaona jinsi alivyo na nidhamu na kila unamuona kama ni msanii mchanga hii inazidi kumpa heshima na kumfanya aonekane anajitambua na kujielewa.
Leo hii Lil Wayne anaeonekana amedata kwa matumizi ya marijuana lakini inapofikia swala la nidhamu anaonyesha yupo sawa,mfano mzuri ni kwenye ile kauli yake kuhusu Black Lives Matter alipogundua amekosea ameamua kuomba radhi.
Kwa hili dogo la leo unaweza kujifunza kitu na kubadilisha mfumo mzima wa maisha yako ya sanaa,Kipaji bila nidhamu ni kovu.
Pop staa Jennifer Lopez Aka J Lo anadhibitisha kuwa ukijitunza unaweza kuwa na muonekano mzuri ata baada ya kuwa na umri mkubwa. Syaa huyu wa muziki na filamu ana watoto wawili na ana miaka 47 ila bado anakimbizana na wanamitindo kama Kim Kardashian
Hii post yake imetawali mitandaoni November 4 2016 ikiwa na HashTag #loveyourselffirst.
Kim Kardashian aliwahi kupiga picha kama hii mwaka 2013.
j-lo kim-k
Mkali wa wimbo ‘Salome’ na mkurugenzi wa WCB, Diamond Platnumz amewataka mashabiki wa muziki kukaa mkao wa kula kwa ajili ya ujio mpya wa Rich Mavoko.
Rich Mavoko akaribishwa kwa shangwe State House
Diamond amesema Rich Mavoko ana nyimbo nyingi ndani huku akidai kuna wimbo unaitwa ‘Sijaona’ ambao WCB nzima imekubali lakini yeye anasea bado anaandaa kali zaidi.
“Mimi mwenyewe nimefanya nyimbo nafikiri mbili na Richard na muda wowote zinaweza kutoka,” Diamond alikiambia kipindi cha FNL cha EATV. “Sema Richard ni mtu fulani ambaye anajipanga hivyo kipindi hiki anajipanga akianza kufumuka na mabomu yake ni hatari, maana anajipanga kila wimbo akirekodi anakwambia hii bado, akirekodi nyingine tena anakwambia hii bado yaani naweza kusema Richard ni msanii ambaye ana nyimbo nyingi sana kali,”
Aliongeza, “Kuna wimbo pale unaitwa ‘Sijaona’ WCB nzima wanaikubali lakini yeye anakwambia hii bado, ila akisema hivyo akileta ngoma nyingine inakuwa kali zaidi. Kwa hiyo ni mtu ambaye Mwenyezi Mungu kamjalia kipaji na mwenyewe anakuaga hana papara”
Muimbaji huyo kwa sasa anafanya vizuri kitaifa na kimataifa na wimbo ‘Imebaki Story’.
Fresh kutoka kwenye ziara yao ya “Summer Sixteen Tour,” Future anakutana tena na Drake kwneye colabo yao iliyotayarishwa na Zaytoven “Used to This.”
Bonyeza play kuitazama video yao.

Mashabiki wa pop staa Justin Bieber nchini Brazil wameonyesha mapenzi ya ukweli kwa staa wao baada ya kutangaza kuweka kambi ya miezi mitano wakisubiri ujio wa staa huyu nchini Humo.
Mashabiki hao waliweka mahema nje ya uwanja wa Sambadrome mjini Rio de Janeiro mahali ambapo Justine atafanya show mnamo March mwaka 2017.
Justin Bieber atakuja Brazil kwenye ziara yake ya #PurposeTour na tiketi moja utauzwa dola $77 ambayo ni kama 180000 za bongo kuanza kuuzwa October 25,
Mpaka sasa mashabiki 150 wameweka mahema 17 kwenye kempu iliyopewa jina  ‘Camp Bieber’.Polisi wamekataza watoto chini ya miaka 18 kukaa kwenye kempu hio.
b1 b2 b3
Baada ya rapa Meek Mill kutoa mixtape yake kali ya DC 4 , colabo zimekuwa zikimwagika na jina lake kutajwa.
This time wanasema rnb staa ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa Drake ambaye ni hasimu wa Meek MillRihanna naye anaitaka colabo ya Meek Mill.
Mashabiki wengi wamehamia upande wa Meek Mill baada ya kutoa mixtape yake bila kumdiss mtu na kuonyesha kukua kama amsanii.
Kwa sasa Drake yupo studio na Taylor Swift wakifanya colabo yao.
Rapper mkongwe na hitmaker wa ‘Peke Yangu’ Adili Mkwela aka Hisabati ameingia kwenye vita vya maneno na rapper Wakazi.
Bifu
Issue yenyewe ilianzia mbali na kisha kuja kuchochewa na post ya Wakazi July 19 kwenye Instagram.
“Kuna Msanii anaitwa @adili_chapakazi anadai nimemuibia jina lake (CHAPAKAZI) na kuanza kujiita WAKAZI. Well Ngoja niwape asili ya jina “Wakazi”. Hiyo picha hapo juu Nipo na mama Yangu mzazi (Rachel) ambae aliniita jina Wakazi wakati nikiwa Nina umri wa Miaka 3 hadi 7. Nimekulia nyumba ambayo watoto tulikuwa wengi na Mimi ni mmoja wa waliokuwa wanajituma sana (if you ask me, nilikuwa napenda sifa),” aliandika Wakazi kwenye picha akiwa na mama yake.
“Nilivyoanza kwenda shule nikaacha kulitumia ila mama Yangu tu ndio aliendelea kuniita hivyo but others wakaacha. Nilikuwa na rap names nyingi (TLG: Thug Livin Genius was most famous) Ila nilivyofika marekani (Chicago) 2004 nikalazimika kubadili na ndio nikarudia ASILI. Sasa huyu msanii amenipita Miaka 4, so wakati naitwa Wakazi mara ya kwanza (at 3 yrs old) yeye alikuwa 6 or 7 yrs old. Kweli Hata kujua kwamba angekuja kuwa rapper alikuwa anajua?! Je Wakazi na Chapakazi ni Sawa?! AU MWANA KAONA WAKAZI DILI SO ANATAFUTA KIKI?! Naombeni MNISAIDIE … #KamaAnatakaKikiAseme #Tutamposti #JinaNilipewaNaMAMA #YeahNiggaImPettyAsFvck,” aliongeza.
Adili alikaa kimya hadi Alhamis hii alipopost picha ya zamani akiwa jukwaani na kuandika: Tbt#Rhymin Since Birth# in case u dont know.”
Kwenye comments alianza kufunguka zaidi: Wakati niliemzidi miaka mitatu unadhani kwa hii picha yeye alikuwa ana miaka mingapi? MTU hana hata hit moja na bado ananyimbo na mixtape kadhaa na video kumi na tano na jamii haimjui dooh# shidaa# instagram rappers# will do nothing for numbers# mc followers na likes# fanyeni Kazi acheni mambo ya likes# sisi tumepiga Kazi hata kipindi hicho hata YouTube haipo#wala Fb# na Tanzania ili tutambua. I mean instagram rappers will do anything for numbers.”
Wakazi alimjibu: You tag me you want me to see you huh?! Why don’t you get in the booth and show us what you got bitch boy?! @adili_chapakazi I guess ulikuwa unaitwa MC Chapakazi nchi nzima ikakujua umri huo hadi mama Yangu akanizaa na kuniita Wakazi in your honor. #LostOnes. Fanya uwezalo Au utakalo, but you can’t f*ck with me on the mic period. Na on some real life shit, you just proven you a bitch & a snitch.”
Adili alirudi tena: Wewe uliandika na kuni tag siyo? Au umesahau? Anyway ukishapata hit# ndio uje kuongea na Mimi..otherwise switch Kazi yako maana unacho jua Zaidi ni ubishi# nakubishana unakipaji kugombana na kila msanii ni kipaji pia# peace#
Wakazi aliendelea: Wewe Ndio una hits sio?! where they at?! Sijawahi kuona msanii wa hiphop ya ukweli anaongelea “hit song” Kama vile mkata viuno. Bila hit na tayari nimeshalipiwa ticket Za Ndege kwenda nchi Za Watu kuiwakilisha Tanzania kimuziki. Wewe je, what have you done? @adili_chapakazi you a bitch & a snitch..”
Adili akajibu mapigo: Umelipiwa ticket za ndege ? Doh haya basi utalipiwa vingi# maana unapenda kulipiwa# this is my last msg# unfollow me then# don’t write anything here# ur not welcome# sina Muda wa kugombana na wewe # kama hujui historia yangu basi, ulikuwa on Dipper’s, kama hujui Kazi za Chapakazi hatuwezi kubishana# kwaheri.”
Unadhani huu ni mwanzo wa bifu mpya?
Kutoka kuwa mwanamieleka aliyekuwa na mafanikio makubwa, sasa The Rock ndiye muigizaji wa Hollywood anayelipwa fedha nyingi zaidi, kwa mujibu wa Forbes.
dwayne-johnson-the-rock-2014-billboard-650
Muigizaji huyo ambaye jina lake halisi ni Dwayne Johnson ameingiza dola milioni 64.5 mwaka huu. Johnson amepanda kutoka dola milioni 31.5 alizoingiza mwaka jana.
The Rock alikamata nafasi ya 19 kwenye orodha ya Forbes ya mastaa wanaolipwa fedha nyingi zaidi mwaka huu na kuongozwa na Taylor Swift, aliyeingiza dola milioni 170.
Miezi sita iliyopita, Wema Sepetu alikuwa na hasira na Kajala kiasi cha hata kuthubutu kusema hamjui.
Kajala2
“Mimi mtu ambaye sitaki kujiassociate naye namtoa kabisa ndio maana naweza nikakaa nikakuuliza Kajala ni nani? Huu sio muda wa kumzungumzia na kumpa airtime,” Wema alimuambia Zamaradi Mketema kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV kilichoruka January mwaka huu.
Na sasa huenda Wema ameanza kuufungua moyo wake na kutafuta sehemu ndogo ili kumsamehe. Leo ni siku ya kuzaliwa ya Kajala na Wema ameungana na mastaa wengine kumpongeza muigizaji huyo.
Kajala
Wema ametumia post tatu kwenye Snapchat kumpongeza Kajala.
Wawili hao waliwahi kuwa marafiki wakubwa miaka miwili iliyopita ambapo Wema alimlipia Kajala shilingi milioni 13 ya hukumu aliyopewa mahakamani kwa kesi iliyokuwa ikiwakabili na aliyekuwa mume wake.

Diamond Platnumz si mgeni kwenye jumbe tata kwenye mitandao ya kijamii.
Diamond
Lakini ujumbe wake mpya kwa bintiye, Tiffah umesababisha mjadala mkubwa.
Akiweka picha ya binti yake huyo ambaye mwezi ujao anatimiza mwaka mmoja, Diamond aliandika: Buff day Girl! my little Pumpkin😍 My Miss World 👸 @princess_tiffah kua mama, nikupe Raha ya Dunia na ujifaidie Ustar wako….. ila dah ukikua chonde mama ukitunze wasikile sana #KIDOGO tu, Maana ntalificha wapi hili sura langu.”
Maneno: Ukikua chonde mama ukitunze wasikile sana #KIDOGO tu’ ndiyo yaliyosababisha povu la haja.
Hizi ni baadhi ya comments:
Twinsrebeccita: Hivi mtoto hajafikisha hata miaka miwili ushaanza kufikiria masuala yake ya ngono!!!! Maneno ya bure kwako, usitumie utupu wa mwanao kutangaza biashara yako.
Precioushamis: Mungu auTunze usichana wako /ujana wako tiffah, kinywa cha baba yako kishindwe kwa jina la yesu amina
Jahmolbiggz: Daym 😁 did u just wrote that? Any real Dad out there won’t even think of writing such words to her dota.. Shit is Crazy
Madimwashiti: @princess_tiffah never follow your parents foot steps. U need more prayer. @diamondplatnumz better pray for this little girl coz what goes around comes around. Many many little SIMBAS out there want spare you dear. That is my own thoughts. Think about it NASSEB
Neyesu Daniel: Diamond ww sio baba mwema! Utaanzaje kumwambia bint ako ivo!? Umenikera mbna unakosa madil ya kiafrika?? Acha izo bna kama ww una njia ambazo si nzur bc mfunze mwanao akue vema!
Rajabu Mussa: Tena atakua amefuata Tabia Za Huku na huku(kwa maza n baba) maana kote kote hakuna mwenye afazali…….ukila nawe utaliwaaaaa japo #Kidogo
Tuzo Hella: Atii aliwe kidogooo!!! Labda wakati anaandika hiyo post hakuwa poa!!alionja kidogo ile kitu ya Arusha inarushanga akili,coz diamond hukogi na akili mingi sasa alifikiri nn kuandika hayo maneno hayo!!eti mtt akulwe kidogo kweliii!!!! D your not serious
Unaounaje ujumbe huo?
Jay Z si rapper unayeweza kumpata kirahisi tu ndio maana ilimchukua Dj Khaled mwaka mzima pamoja na kutafuta nyumba ya kuishi New York, Marekani ili kuipata verse yake.
13551756_1696266437292524_133795301_n
Khaled anaishi Miami lakini ilimlazimu kuhamia NY kwaajili hiyo. Hivi karibuni amemshirikisha Hov kwenye wimbo wake I Got The Keys.
“It took me years to get Jay Z to do a record for me,” amesema kwenye interview na Music Choice. “I basically got a condo in NYC for a whole year to stay close by him and let him know how hungry I was for that verse. So I went in studio every day. He was recording his album and I appreciate him letting me be around and capture that greatness, but at and at the same time I was hustling too, you know what I am saying. I wanna get that verse in.”
“It was a year process that I had to go back and forth to Miami to NY and I had condo in NY and so I stayed in NY so I had to let him know I’m not going nowhere,” Khaled explains. “Basically, we made history. I am never stopping.”