NEWS

SPORTS

ENTERTAINMENT

VIDEOS

/ / Wahamiaji 26 hawajulikani waliko


Image copyright
AFP
Image caption
Wahamiaji 26 hawajulikani waliko

Ugiriki inasema kuwa inawatafuta wahamiaji 26 ambao inaamika kuwa huenda hawajulikani waliko baada ya mashua yao kuzama nje ya kisiwa cha Lesbos katika bahari ya Aegean.
Wahamiaji wengine 20 waliokolewa . Wakimbizi 10,000 wengi kutoka nchini Syria wamewasili nchini Ugiriki kutoka pwani ya Uturuki mwaka huu.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About B45

Asante kwa kutembelea BENSON 45,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA BENSON45.BLOGSPOT.COM.

No comments :

Leave a Reply