• Msikilizaji mzuri wa muziki wa hiphop utakuwa na ufahamu kuhusu wimbo #STAN wa Eminem&nb...

  • Rich Homie Quan atahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kama atakutwa na hatia kwenye ...

  • BET wametoa orodha ya wasanii ambao watapanda katika steji ya utoaji tuzo usiku wa June 2...

  • Chance the Rapper’s impact on Chicago continues to shine. Following the hometown hero’s $...

NEWS

SPORTS

ENTERTAINMENT

VIDEOS

/ / Unlabelled / CHRIS BROWN APEWA ADHABU, ARUHUSIWA KUOGA MARA MOJA NI BAADA YA KUMSHIKA MWANAMKE MAKALIO



MWANAMUZIKI kutoka Marekani Chris Brown, ambaye hivi sasa ametupwa rumande anadaiwa kuwa ataruhusiwa kuoga mara moja tu ndani ya siku mbili akiwa jela.
Mwanamuziki huyo wa miondoko ya R&B, alitupwa jela wiki hii ambako atakaa kwa mwezi mzima baada ya kufukuzwa rehab.
Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, umedai kuwa Brown atafungiwa kwenye chumba chake pekee yake kwa zaidi ya masaa 23 kila siku, ingawa ataruhusiwa kusoma vitabu pamoja na kufanya mazoezi.
Ambapo atakaa jera hadi 23 April, ambapo ametolewa Rehab baada ya kufanya vitendo vinavyoenda kinyume na sheria ya rehab ikiwa moja wapo kumshika mwanamke kinyume na masharti ya huko.
Brown ameponzwa na tabia yake ambapo, alimshika mwanamke kinyume na masharti ya humo pamoja na kukaataa kuchukua vipimo vya dawa ya kulevya na kwa kutoa kauli za vitisho wakati wa 'therapy' ya kundi kwa kudaiwa kusema kuwa 'i am good at using guns and knives'.

«
Next
UJUMBE KUTOKA KWA DIAMOND PLATNUMZ KUJA KWAKO, UTASAIDIA KUBADILI MTAZAMO WAKO
»
Previous
TAPELI AVULIWA NGUO HADHARANI

About B45

Asante kwa kutembelea BENSON 45,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA BENSON45.BLOGSPOT.COM.

No comments :

Leave a Reply